Tuesday, October 16, 2012

MAAFISA TEHAMA WA MIKOA NA HALMASHAURI WAKIWA DARASANI WAKATI WA MAFUNZO YA MFUMO WA HCMIS(LAWSON)

Maafisa Tehama mbalimbali kutoka katika Mikoa na Halmashauri Tanzania Bara wakiwa katika mafunzo ya mfumo wa kiutumishi wa HCMIS (LAWSON) mjini Dodoma katika ofisi za Tamisemi.Mafunzo haya yaliendeshwa na Wizara ya Utumishi wa Umma kuanzia tarehe 15-17/10/2012