Tuesday, October 16, 2012

MAAFISA TEHAMA WA MIKOA NA HALMASHAURI WAPEWA MAFUNZO JUU YA MFUMO WA HCMIS (LAWSON)

Maafisa Tehama wa sekretarieti ya Mkoa wa Kilimanjaro kulia (Kundaeli Lema) na kushoto (James Mtatifikolo) wakiwa katika mafunzo ya mfumo wa kitumishi HCMIS (LAWSON) yaliyoendeshwa na Wizara ya Utumishi wa Umma katika ofisi za Tamisemi-Dodoma  kuanzia tarehe 15-17/10/2012.Mafunzo haya yamehudhuriwa na maafisa Tehama wote wa Mikoa na Halmashauri.