Maafisa
Tehama wa sekretarieti ya Mkoa wa Kilimanjaro kulia (Kundaeli Lema) na
kushoto (James Mtatifikolo) wakiwa katika mafunzo ya mfumo wa kitumishi HCMIS
(LAWSON) yaliyoendeshwa na Wizara ya Utumishi wa Umma katika ofisi za
Tamisemi-Dodoma kuanzia tarehe 15-17/10/2012.Mafunzo haya yamehudhuriwa
na maafisa Tehama wote wa Mikoa na Halmashauri.
|