Wednesday, October 10, 2012

WAKIBADILISHANA MAJALADA MARA BAADA YA KUSAINI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro (Kulia) Dkt.Faisal H.H.Issa akibadilishana majalada na mwakilishi wa TIB mara baada ya kusaini 'memorandum of understanding' ya ujenzi wa soko.(Picha na Shabani Pazi)