Wednesday, October 10, 2012

VIONGOZI MBALIMBALI WAKIFUATILIA KWA UMAKINI TUKIO ZIMA

Viongozi wa serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro,Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Mhe. Samwel  Sitta  na watumishi mbalimbali waliokuwepo katika ukumbi wa mkuu wa Mkoa wakifuatilia kwa makini tukio hilo la kihistoria katika mkoa wa Kilimanjaro.