VIONGOZI MBALIMBALI WAKIFUATILIA KWA UMAKINI TUKIO ZIMA
Viongozi wa serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro,Waziri wa Ushirikiano wa
Afrika ya Mashariki Mhe. SamwelSitta na watumishi mbalimbali waliokuwepo katika ukumbi wa mkuu wa Mkoa wakifuatilia kwa makini tukio hilo la kihistoria katika mkoa wa Kilimanjaro.