Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro (Kulia) Dkt.Faisal
H.H.Issa akiweka saini katika "MEMORANDUM OF UNDERSTANDING" kwa ajili
ya Ujenzi wa Soko la Kimataifa la Himo, kulia kwake ni Mwakilishi wa Benki ya
TIB Bwana Allan Magoma.Waliosimama ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (katikati),kulia kwake Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Mhe. Samwel Sitta na Mkuu wa Wilaya ya Moshi
Mhe.Dkt Ibrahim Msengi wakishuhudia tukio hilo la kihistoria katika mkoa wa Kilimanjaro la tarehe 09/10/2012
|