Wednesday, October 10, 2012

SERIKALI YA MKOA WA KILIMANJARO YALETA MATUMAINI MAPYA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro (Kulia) Dkt.Faisal H.H.Issa akiweka saini katika "MEMORANDUM OF UNDERSTANDING" kwa ajili ya Ujenzi wa Soko la Kimataifa la Himo, kulia kwake ni Mwakilishi wa Benki ya TIB Bwana Allan Magoma.Waliosimama ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (katikati),kulia kwake Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Mhe. Samwel  Sitta  na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe.Dkt Ibrahim Msengi wakishuhudia tukio hilo la kihistoria katika mkoa wa Kilimanjaro la tarehe 09/10/2012