Tuesday, October 16, 2012
MAAFISA TEHAMA WA MIKOA NA HALMASHAURI WAPEWA MAFUNZO JUU YA MFUMO WA HCMIS (LAWSON)
Wednesday, October 10, 2012
VIONGOZI MBALIMBALI WAKIFUATILIA KWA UMAKINI TUKIO ZIMA
Viongozi wa serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro,Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Mhe. Samwel Sitta na watumishi mbalimbali waliokuwepo katika ukumbi wa mkuu wa Mkoa wakifuatilia kwa makini tukio hilo la kihistoria katika mkoa wa Kilimanjaro. |
WAKIBADILISHANA MAJALADA MARA BAADA YA KUSAINI
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro (Kulia) Dkt.Faisal H.H.Issa akibadilishana majalada na mwakilishi wa TIB mara baada ya kusaini 'memorandum of understanding' ya ujenzi wa soko.(Picha na Shabani Pazi) |
SERIKALI YA MKOA WA KILIMANJARO YALETA MATUMAINI MAPYA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro (Kulia) Dkt.Faisal
H.H.Issa akiweka saini katika "MEMORANDUM OF UNDERSTANDING" kwa ajili
ya Ujenzi wa Soko la Kimataifa la Himo, kulia kwake ni Mwakilishi wa Benki ya
TIB Bwana Allan Magoma.Waliosimama ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (katikati),kulia kwake Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Mhe. Samwel Sitta na Mkuu wa Wilaya ya Moshi
Mhe.Dkt Ibrahim Msengi wakishuhudia tukio hilo la kihistoria katika mkoa wa Kilimanjaro la tarehe 09/10/2012
|
Subscribe to:
Posts (Atom)